Jumatano, 20 Mei 2015

Umekutana na Post ya Director Adam juma yenye Maneno mazito hii hapa


adMuongozaji wa video za Bongo Adam Juma leo ameandika ujumbe mzito ambao inawezekana ukawahusu baadhi ya waongozaji wengine wa video za Tanzania .
vdKwenye ujumbe wake huo ambao kwenye upande wa picha ameweka camera ameandika maneno haya>>’Watanzania wabishi sana, miaka mitatu tu mtu anaanza kujifanya anajua kumpita mungu’
Anaendelea >>‘kwa style hii hakuna atakae toka i swear to god!!!! Mimi kila siku najifunza ili siku moja nifanye kazi ninayoipenda kwa umakini sio kutengeneza video tu!!!!’
Kingine ameandika>>’Wengine wanaona kushika kamera na kushot ndio mwisho, tunafanya kazi na watu wengine njee tunajifunza sana vitu mkiona nimenyamaza mnaona km f**a vile, ngoja sasa, ota kwanza pata watoto waende shule, jenga nyumba, acha kutumia choo cha baba
Adam Juma kamaliza kwa kuandika >>’kama ni shabiki unadomo peleka kwenye sehemu flani amazing za unaempenda kabla kuhujanitest!!! Muda wa majeruhi ukiingia kwenye 18 zangu nakupendezesha alafu tunakuaga leaders’.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni