Jumatatu, 25 Agosti 2014

Matokeo Ya Mechi Za EPL Za Stoke,QPR Na Man Utd.


vanHuku taarifa tofauti zikienea kuhusu usajili mkubwa wa Angel Di Maria kutoka Real Madrid, Leo Manchester United imecheza na Sunderland kwenye English Premier League na kutoka sare ya mabao 1-1. Wachambuzi wa soka wanasema ujio wa Louis van Gaal lipigiwa mahesabu kuwa Man United walitakiwa kwa sasa wawe na Point sita na sio moja waliyonayo sasa.
Haya matokeo mengin
e
epl 11 epl 12 epl 13  

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni